"Niligundua uvimbe usio na maumivu kwenye shingo yangu ambao ulikataa kuondoka," mama huyo wa watoto wawili ameiambia BBC.
Mwanafunzi anayesoma kidato cha tano katika moja ya shule ya sekondari iliyopo mkoani Tanga, Benadeta Silvester (21) ...
Picha na Juma Mtanda. Morogoro. Zaidi ya koo 45 za kabila la Waluguru zimefanya tambiko la tano la kudumisha amani na umoja katika jamii, kutoa elimu ya ulinzi na uhifadhi wa mazingira na kupambana na ...
Afrika Kusini itakabana koo na Misri yake Mohamed Salah wakati Nigeria ikiongozwa na Ademola Lookman ikipambana na Tunisia ...
Droo ya hatua ya makundi ya Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika - AFCON mwaka huu wa 2025 imefanyika jana jioni mjini ...
Mwanaharakati wa Tanzania Maria Sarungi Tsehai anasema alitekwa nchini Kenya na watu wanne wasiojulikana na baadaye kuachwa kando ya barabara.
UKIZUBAA unaachwa. Ndiyo kinachoenda kutokea kwenye michezo ya robo fainali ya Ligi Daraja la Kwanza Dar es Salaam inayoanza ...
Kwa hali ilivyo sasa, dini si kigezo cha kuwagawa Watanzania kwa kuwa Waislamu na Wakristo wana historia ndefu iliyoota mizizi kwa kuwa wameoleana au hata katika baadhi ya koo, kuna watu wa imani zote ...
Aidha, alisema ni vyema jamii ikaepuka matumizi ya mirungi kwani husababisha saratani ya utumbo, ya koo na meno kung’ooka. Katika hatua nyingine, Lyimo alisema serikali kwa kushirikiana na wadau wa ...
Kwa mujibu wa taarifa kutoka RFI, jeshi la Mali na kundi la wanamgambo wa Urusi Wagner kwa mara nyingine tena walitekeleza mfululizo wa mauaji ya kikatili siku ya Jumanne tarehe 21 na Jumatano Januari ...