JUMAPILI ilikuwa burudani kwa wapenzi wa soka waliposhuhudia mechi kali ya Ligi Kuu England wakati Arsenal ikiifunga ...
Rashford amefunga mabao 12 na kuasisti mara tatu katika mechi 33 alizochezea Man United kwenye michuano ya Ulaya. Na sasa huko Villa Park, Rashford atakwenda kuungana na Marco Asensio, ...
KWA dau hili hata ungekuwa ni wewe usingebaki. Ndio, imefichuka kwamba aliyekuwa kocha mkuu wa Yanga, Sead Ramovic aliye mbioni kujiunga na CR Belouizdad ya Algeria atavuta mshahara wa kibosi ...
Pesa inaonekana kuwa kikwazo kikubwa kwa Man United kushindwa kuwa na nguvu kubwa kwenye soko la usajili, licha ya kikosi ...
Aliyekuwa kocha wa Singida BS, Hamdi Miloud awasili jijini Dar es Salaam leo asubuhi akiwa na msaidizi wake tayari kwa ...
Mihic alifanya kazi kwa muda mfupi kama msaidizi wa kocha katika klabu ya Al-Samiya Sporting Club ya Kuwait, bingwa wa Ligi ...
"Tamasha letu mwaka huu lina mwamko mkubwa, tumeanza kupokea wadau kutoka ndani na nje ya nchi ambao wanakuja kwa ajili ya ...
KWA dau hili hata ungekuwa ni wewe usingebaki. Ndio, imefichuka kwamba aliyekuwa kocha mkuu wa Yanga, Sead Ramovic aliye ...
Katika maadhimisho hayo, yaliyopewa jina la Jide Silver, mwimbaji huyo ataanza kwa kuijengea jamii ufahamu juu ya ugonjwa wa saratani akishirikiana na Hospitali ya Ocean Road, siku ya Juni 9.
KAMA ulizaliwa Februari 5, unacheza soka na huna maajabu, basi achana na boli, kwani hiyo itakuwa kazi isiyokuhusu.
Ripoti ya Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) imeiorodhesha Kenya miongoni mwa nchi zilizovuna pesa kutokana na mauzo ya ...
SUPASTAA, Cristiano Ronaldo amefunguka mengi ikiwamo kuwapiga vijembe baadhi ya makocha waliowahi kumnoa hawajui mpira.